Home Search Countries Albums

Wahi Wahi

HOPEKID Feat. NICAH THE QUEEN

Wahi Wahi Lyrics


Yeees man, see mi a seh
Hhmm na nicah the Queen 

Umeniwahiwahi mama, kama mwizi kwa mikono ya raia
Umeniwahiwahi mama, kama mlevi amelemewa na bia
Umeniwahiwahi mama, zawadi Mungu amenitunukia
Gyal you got mi whole heart it’s time fi settle down now

Nataka pete pete nikuvishe
Na vitenge tenge tufananishe
Tuwatese tese tuwa-feelishe 
Waone gere gere gere 

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Ooh I know I know
You wanna be with me tena wanidhamini
And I know I know si rahisi
Ila nitajitahidi

Nakubali pete pete univishe 
Na vitenge tenge tufananishe
Tuwatese tese tuwa-feelishe 
Waone gere gere gere

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Babe you you you
Babe you
Babe you you you
umeni wahiii     

Babe you you you (Kama mwizi kwa mikono ya raia)
Babe you (Kama mlevi amelemewa na bia)
Babe you you you, umeni wahiii        

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Nimeku wahi wahi sana
Nimeku wahi wahi sana
Nimekuwaaaahi wahii

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Wahi Wahi (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HOPEKID

Kenya

Hopekid HK (The General) is a dancehall  recording artist based in Nairobi Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE