Wahi Wahi Lyrics
Yeees man, see mi a seh
Hhmm na nicah the Queen
Umeniwahiwahi mama, kama mwizi kwa mikono ya raia
Umeniwahiwahi mama, kama mlevi amelemewa na bia
Umeniwahiwahi mama, zawadi Mungu amenitunukia
Gyal you got mi whole heart it’s time fi settle down now
Nataka pete pete nikuvishe
Na vitenge tenge tufananishe
Tuwatese tese tuwa-feelishe
Waone gere gere gere
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Ooh I know I know
You wanna be with me tena wanidhamini
And I know I know si rahisi
Ila nitajitahidi
Nakubali pete pete univishe
Na vitenge tenge tufananishe
Tuwatese tese tuwa-feelishe
Waone gere gere gere
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Babe you you you
Babe you
Babe you you you
umeni wahiii
Babe you you you (Kama mwizi kwa mikono ya raia)
Babe you (Kama mlevi amelemewa na bia)
Babe you you you, umeni wahiii
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Nimeku wahi wahi sana
Nimeku wahi wahi sana
Nimekuwaaaahi wahii
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Wahi Wahi (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
HOPEKID
Kenya
Hopekid HK (The General) is a dancehall recording artist based in Nairobi Kenya. ...
YOU MAY ALSO LIKE