Home Search Countries Albums

Nisaidie

PITSON

Nisaidie Lyrics


[VERSE 1]
Nisaidie Baba nisiwahi lala njaa
Nisaidie Baba nisipatwe na balaa
Hasara iwe mbali nami hata kwa biashara
Ninachouza wanunue nisibaki na bidhaa
Aah aaah aaah
Nisiwai kosa pesa ya kulipa nyumba ya kukodisha
Pia unipe yangu nisiishi sana ya kukodisha
Jinsi ya kupata doo wewe Baba ndio utanionyesha
Utatoa vitu vinavyonikondesha
Aah aaah Nisaidie
Aaah aaah Nisaidie

[VERSE 2]
Itakuwaje baba jirani wanajua nimeokoka
Na vile mimi ninateseka niko na deni hata kwa mama mboga.
Wamenidharau watakudharau
Mungu wa Ibrahimu waonyeshe kwamba hujanisahau
Uuuu uuuu uuuu
Kama Shadrack Meshack Abedinego
Hata wanirushe kwenye moto
Nikikosa ya dunia bado sitawainamia
Sitawainamia
Aaaah aaah Nisaidie
Aaaaaaah Nisaidie
Aaaah aaah Nisaidie
Aaaaaaah Nisaidie
??
Kwa kila kitu nifanyacho Baba nisaidie, nisaidie
Kwa kazi ya mikono yangu Baba nisaidie, nisaidie
Uniweke mbali na balaa baba nisaidie, nisaidie
Niweke mbali na hasara
Nisaidie, nisaidie

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nisaidie (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

PITSON

Kenya

Pitson Geither is a Gospel Artist, Song Writer, Performing & Recording Artist from ...

YOU MAY ALSO LIKE