Yumba Lyrics

Naona watoto wakali wameng'ara hatari
Namwona Vera pembeni na Zari
Jivinjari kumewaka nari
Chafua meza hasara si hatujali
Leo goma moto na kujimwaga uwanjani, uwanjani
Si goma la kitoto, songa kando ka huwezani, huwezani
Kulia kushoto, limeshika mpaka ndani, mpaka ndani
Watoto viboko, na vibindo kiunoni, kiunoni
Basi leo utambae kwa magoti
Hatuchezi bedi ni kwa moti
Mkono upapase remote
Hii nikuchape kishoti
Ona pombe limekolea anayumba
Mba mba anayumba
Ona pombe limekolea anayumba
Mba mba anayumba
Yule pale limemlemea anayumba
Mba mba anayumba
Limemlea anayumba
Mba mba anayumba
Kashanibeep kabinti kale
Nakapa kiti kaje kakae
Nakaagizia tequilla
Mechi leo tight I'mma bedroom bully
Watoto kila aina aina sampuli
Hakuna kunyonga monkey watoto walivyo fine
Michezo ya gizani
Hakuna kunyonga monkey watoto walivyo fine
Michezo ya gizani
Basi leo utambae kwa magoti
Hatuchezi bedi ni kwa moti
Mkono upapase remote
Hii nikuchape kishoti
Ona pombe limekolea anayumba
Mba mba anayumba
Ona pombe limekolea anayumba
Mba mba anayumba
Yule pale limemlemea anayumba
Mba mba anayumba
Limemlea anayumba
Mba mba anayumba
Ona pombe limekolea anayumba
Mba mba anayumba
Ona pombe limekolea anayumba
Mba mba anayumba
Yule pale limemlemea anayumba
Mba mba anayumba
Limemlea anayumba
Mba mba anayumba
Limemlea anayumba
Mba mba anayumba
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : V the Album (Album)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BROWN MAUZO
Kenya
Brown Mauzo whose real name is Fredrick Mtinda was born on 31st December. He is a Kenyan musician wh ...
YOU MAY ALSO LIKE