Home Search Countries Albums

Niteke

HAITHAM KIM

Niteke Lyrics


(Its Bonga)
Oooh beiby ooh
Mi kwako njiwa 
Ilonasa bila mtama wee
Aaah niache ning'ang'anie

Ooh daddy ooh 
Ninyooshe ukiniona 
Naenda mrama ee
Aaah aaaah

Unonipa ya vuguvugu my beiby
Siongei kama bubu, siwezi
Hakika unanisulubu 
Kwa penzi lako ni raha tupu ah

Kwako mnyonge nishatubu, my beiby
Umenifunga kamba kudu, siwezi
Hakika unanimudu
Penzi lako ni raha tupu 

Eeh eh eh eh eh
Wataka niongeze nini baba
Maana nishakwama we ndo msaada
Niokoe, niokoe beiby

We kaka nami ndo kadada
Nataka tuwe mama na baba
Niokoe, niokoe beiby

Niteke, niteke
Niteke niteke
Beiby mi ndo wako kangaroo
Na we ndo yangu sabuni ya roho

Niteke, niteke
Niteke niteke
Mi ndo wako kangaroo
Na we ndo yangu sabuni ya roho

Yaani swadakta
Umenifanya vya kufanya kamata
Umeninoga ile mbaya, ile mbaya

Umenivusha mipaka
Umenifinyanga finyanga kama ngata
Umenikoga ile mbaya, ile mbaya

Fundi wa magoli ya ndani ndani
Mjuzi kitandani ndani
Moto wa kuotea mbali yeiye
Mtamu kama asali yeye

Unonipa ya vuguvugu my beiby
Siongei kama bubu, siwezi
Hakika unanisulubu 
Kwa penzi lako ni raha tupu ah

Kwako mnyonge nishatubu, my beiby
Umenifunga kamba kudu, siwezi
Hakika unanimudu
Penzi lako ni raha tupu 

Eeh eh eh eh eh
Wataka niongeze nini baba
Maana nishakwama we ndo msaada
Niokoe, niokoe beiby

We kaka nami ndo kadada
Nataka tuwe mama na baba
Niokoe, niokoe beiby

Niteke, niteke
Niteke niteke
Beiby mi ndo wako kangaroo
Na we ndo yangu sabuni ya roho

Niteke, niteke
Niteke niteke
Mi ndo wako kangaroo
Na we ndo yangu sabuni ya roho

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Niteke (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAITHAM KIM

Tanzania

Haitham Kim is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE