Afadhali Yesu Lyrics

Nikiwa kwa matendo ya mwili
Ulinipenda hukunitupa
Nimekukosea mara nyingi
Ukanipenda na msamaha
Na bado nakushangaa
Hujanichoka hujanichoka
Nikitazma kwenye list mimi sikudhani ungenisamehe
Sikuwa na faida eeh
Na dunia ilinikataa
Pengine ungeshanizika
Ila ukaniacha nisimulie wema wako wewe
Afadhali wewe tu
Afadhali Yesu
Afadhali wewe tu
Afadhali Yesu
Wema wako na upole wako unanishangaza
Umenipa fursa na udhaifu wangu ukanitakasa
Unaniskia nikikulilia
Badilisha nia sasa nakutumikia
Na nikipotea unanionyesha njia
Nakuwa msumbufu ila unanivumilia
We baba wee
Kama ingekuwa binadamu hangeubeba msalaba
Angeutupa chini tujitegemee
Mzigo wetu tujibe, tujibebee
We baba wee
Kama ingekuwa binadamu hangeubeba msalaba
Angeutupa chini tujitegemee
Mzigo wetu tujibe, tujibebee
Afadhali wewe tu
Afadhali Yesu
Afadhali wewe tu
Afadhali Yesu
Nikiwa kwa matendo ya mwili
Ulinipenda hukunitupa
Yesu nimekukosea mara nyingi
Ukanipenda na msamaha
Afadhali wewe tu
Afadhali Yesu
Afadhali wewe tu
Afadhali Yesu
Mmmmh mmmh....
Aaah aah...
Mmmmh mmmh....
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Kampeni (Album)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GOODLUCK GOZBERT
Tanzania
Goodluck Gozbert is a Bongo Gospel Artist/Singer from Tanzania ...
YOU MAY ALSO LIKE