Home Search Countries Albums

Pendeni Lyrics


Nimejaribu kukuonesha upendo
Hata huguswi
Unanipa tabu na makwazo
Mana hutulii
Na mbona mwenyewe unajua
Kama si wewe mi siwezi kabisa
Ila kwa ninayo yaona haya
Basi ngoja nijaribu kujipenda mi mwenyewe
Nna maana
Huduma zote nilizokuwa nakupa
Acha nijihudumie
Nipo radhi kigongeo kukatwa
Ila nisikurudie
Baby maneno
Yanatafuna moyo
Baby maneno

Pendeni
pendeni
Pendeni
Mi nimekoma
Lulu,Wema,Mobbeto
Pendeni Kajala
Pendeni Kidoti
Pendeni
Mi nimekoma

Nilijitahidi upate unachohitaji
Japo si kingi ila kwa uwezo kilifaa
Kumbe ni mrembeshi mzuri
Mfano wa dibaji
Utazama ndani
Kwa nje kulivyorembwa
Naondoka mapema
Nachelew kurudi
Mwenzangu umelala
Haujui mateso
Nikirudi nimekosa
Nawekwa kangani
Mwenzangu huruma
Hujapewa kabisa
Baby maneno
Yanatafuna moyo
Baby maneno
Baby maneno
Yanatafuna moyo
Baby maneno

Pendeni  Uwoya
Pendeni Jack Wolper
Pendeni Mi nimekoma
Shishi,Gigy,Vanessa
Pendeni tunda
Pendeni Dada Jidee
Pendeni Mi nimekoma
Aika na nahreel
Pendeni
Pendeni
Pendeni Mi nimekoma

Moyo wangu Umekuwa
kama Jalala la maumivu
Yanayohusu mapenzi
Na ndo mana nimekoma
Nyie pendeni Miki sitaki

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Pendeni (Single)


Copyright : (c) 2021, All Rights Reserved - Foby Inc.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

FOBY

Tanzania

Frank Ngumbuchi, popularly known as FOBY, is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE