Home Search Countries Albums

Zodoa

BARNABA

Zodoa Lyrics


Abbah you make my day
This is Barnaba boy classic
(Abbah)

Na... 
Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo
Ni macho kodo, mmekodoa!
Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo
Ni macho kodo, mmekodoa!

Sifa ya mwanaume kutunza
Mwanamke ni wanja
Mwanamke anapigwa na kanga kaka

Msingi wa nyumba kiwanja 
Kuku hachinjwi na panga
Mume hawezi kuwa danga dada

Awe mnene mwembamba, mweusi inahusu
Kimbau mbau ana shepu
Hajui kubusu

Vinate uvinyonge 
Hawatapiriki
Hata ukiwa ukweli 
Wao wanafeki

Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo
Ni macho kodo, mmekodoa!
Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo
Ni macho kodo, mmekodoa!

Eeh, dunia ya sasa ina mambo, ina mambo
Kwako mpya kwa mwenzako kitambo, kitambo
Nabadilisha kwa kutwa kama fulana
Si wanaume, kumbe mpaka wasichana

Kuna mambo, ebo!
Awe mnene mwembamba, mweusi inahusu
Kimbau mbau ana shepu
Hajui kubusu

Vinate uvinyonge 
Hawatapiriki
Hata ukiwa ukweli 
Wao wanafeki

Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo
Ni macho kodo, mmekodoa!
Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo
Ni macho kodo, mmekodoa!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Zodoa (Single)


Copyright : (c) 2019 Hightable Sound


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BARNABA

Tanzania

Barnaba Classic is a singer, song writer and producer  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE