Home Search Countries Albums

Bora

FOBY

Bora Lyrics


Ulisema unaenda 
Kusalimia mama yako na baba
Wiki tumeshakonda 
Unarudia analofunza janaba

Kama ushafanya konda 
Na mie nipige debe niwe zobe
Wasije wakanibonda 
Ni mimi ndo nimiminiwe mashaka

Heri kipofu
Haoni chochote kinachoendelea
Hata kiziwi
Rahisi kutetwa kinachoongelewa

Ila mimi naona nasikia
Naumia navumilia
Penzi kitanzi kinaua 
Usivute utamalizia aah 

Ni bora, nikuvumilie
Wacha tu mengi niambiwe
Ni bora, oooh acha iwe bora

Ni bora, nikuvumilie(bora)
Acha tu mengi niambiwe
Honey acha iwe oooh

Kuna siku utakuja kukata mizizi yote
Iliyoshikilia moyo wangu, wewe mtoto
Huku na huku utakuta sina nguo zote 
Wa kulipigania penzi langu, we mtoto

Huko mwenzangu anasakata rhumba
Mi huku mengi yananikumba
Na siku nikikosa vumba
Ugomvi penzi linaruba

Heri kipofu
Haoni chochote kinachoendelea
Hata kiziwi
Rahisi kutetwa kinachoongelewa

Ila mimi naona nasikia
Naumia navumilia
Penzi kitanzi kinaua 
Usivute utamalizia 

Ni bora, nikuvumilie
Wacha tu mengi niambiwe
Ni bora, oooh acha iwe bora

Ni bora, nikuvumilie(bora)
Acha tu mengi niambiwe
Honey acha iwe oooh

Ahee ahee, aiyaya
Ahee ahee, aiyaya
Ahee ahee, aiyaya
Oooooh...

Ahee ahee, aiyaya
Ahee ahee, aiyaya
Ahee ahee, aiyaya
Aiyayayaya...

Ni bora, nikuvumilie
Wacha tu mengi niambiwe
Ni bora, oooh acha iwe bora

Ni bora, nikuvumilie(bora)
Acha tu mengi niambiwe
Honey acha iwe oooh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Bora (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

FOBY

Tanzania

Frank Ngumbuchi, popularly known as FOBY, is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE