Home Search Countries Albums

Makosa (Refix) Lyrics


Mbona kunifuata mimi na nyumbani umemuacha wako bibi
Sikatai mtu sina mimi lakini tayari una jiko
Tuambiane ukweli ombi lako siwezi
Anakupenda anakudhamini kwanini unataka asikudhamini

Unafanya bure nenda utulie
Kazi pesa unayo familia nzuri unayo we

Kwa hivyo hii ni makosa wee bwana
Unafanya makosa wee bwana
Wataka kujiua bure bwana
Utakosa ubaki bure bwana

Mimi si wako, na wewe si wangu
Penzi la nini kati yangu mi na wewe
Mimi si wako, na wewe si wangu
Penzi la nini kati yangu mi na wewe

Anasa baby kukupenda
Nawe wataka kumtenda
Hakuna utu ndani yako
Hawezi taka toka kwako

Usikubali akuache wewe
Rudi nyumbani ukamuone
Mimi sitaki pole 
Usinifuate mimi

Nenda utulie brother man
Rudi kwako weka money
Ati mapenzi kitu gani
Sikuhitaji mimi 

Kwa hivyo hii ni makosa wee bwana
Unafanya makosa wee bwana
Wataka kujiua bure bwana
Utakosa ubaki bure bwana

Mimi si wako, na wewe si wangu
Penzi la nini kati yangu mi na wewe
Mimi si wako, na wewe si wangu
Penzi la nini kati yangu mi na wewe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Makosa (Refix) (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

FARI ATHMAN

Kenya

Fari Athman (born 1st July) is an artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE