Accueil Recherche Pays Albums

Upendo Wa Mungu

EZEKIEL MAKILILO

Upendo Wa Mungu Lyrics


Mungu Wetu iyeeeee
Jee mama waeza kumsahau mtoto wake anayemnyonyesha
Asiyemuhurumia mwana wa tumbo lake
Swali Mungu anakuuliza

Hawezi kusahau Mana amekuchora wewe 
Mungu Wetu Ni Zaidi wa Baba
Upendo Wake Ni Zaidi ya Mama

Mungu Baba alipoona kilio na mateso ya wanadamu
Alimtuma mwana wa Yesu duniani
Kwa Upendo na huruma zake 
Aliutoa uhau wake oooooh msalabani

Atukomboe Ni Nani Kati ya wanadamu
Anaweza kuyafanya hayo autoe uhai wake
Kwa ajili yetu 
Yee Ni Mchungaji Mwema
Kwa maisha yetu 
Mungu Baba Eeeh anatuwazia Mema

Yeye Ni Baba wa yatima wote waliomkubali 
Na kumpokea Awe Baba yao 
Yeye Ni Baba wa mama wajane wote waliomkubali na kumpokea Awe Baba yao 
Baba yako Yuko hai yeye anaishi milele

Mjane usilie Mume wako Yuko hai
Yeye hawezi kufa yeye anaishi milele
Baba yangu Wala hakunijali

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Upendo Wa Mungu


Copyright : ©2020


Added By : Its marleen

SEE ALSO

AUTHOR

EZEKIEL MAKILILO

Tanzanie

Ezekiel Makililo is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE