Siku Moja Lyrics

Nilikuandika kwenye historia
Ikabaki kiwembe
Haikutosha salamu
Hata ikawa bubu eeh
Tatizo si pesa tell me why
Unavyonitesa tell me why
Tatizo si pesa tell me why
Vile nilivyoekaga taabu
Ukasema nikome wee
Nikilinganisha hii si adhabu
Kwa leo nikuone
Nipunguzie adhabu, siku moja
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu
Nipunguzie adhabu, siku moja
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu
Nauliza nini sababu
Moyo wangu unaupaga taabu
Nauliza nini sababu
Moyo wangu unaupaga taabu
Ungependa nikupe
Kumbe mwenzangu umewaganda kama kupe
Kama buku nisome
Ili yako mitihani nivuke mama
Ulikuponza wasiwasi
Mimi ningebaki na wewe mami
Ubaya huwa ni hasira
Unajilaumu mwenyewe
Mara una hili una lile
Mwenzako vipi sielewi?
Mara una hili una lile
Mwenzako vipi sielewi?
Vile nilivyoekaga taabu
Ukasema nikome wee
Nikilinganisha hii si adhabu
Kwa leo nikuone eh eh
Nipunguzie adhabu, siku moja
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu
Nipunguzie adhabu, siku moja
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu
Nipunguzie adhabu, siku moja
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu
Nipunguzie adhabu, siku moja
Unataka kuniona mara moja
Na huu udogo wangu, siku moja
Nikukumbushe neno lako moja tu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Siku Moja (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE