Home Search Countries Albums

Bwana Yesu

EUNICE NJERI

Bwana Yesu Lyrics


Bwana Yesu! Bwana Yesu
Kimbilio langu, ni wewe Baba
Tumaini langu, liko kwako Yaweh
Mimi sina uwezo, sina Bwana mwingine ila wewe
Mimi sina uwezo, sina Bwana mwingine ila wewe

Wewe ndiwe Baba yangu
Msaada wangu wa karibu
Wewe ndiwe baba yangu
Msaada wangu wa karibu

Haleluya
Haleluya Baba
Ulinifia mwokozi wangu
Dhambi zangu zote ukaziosha
Sijapata mwingine
Dunia yote kama wewe yahweh
Sijapata mwingine
Dunia yote kama wewe yahweh

Wewe ndiwe Baba yangu
Msaada wangu wa karibu
Wewe ndiwe baba yangu
Msaada wangu wa karibu

Nakuinua, nakuinua
Milele na milele, nitakuimbia
Kwa yale umenitendea Baba nakusifu
Milele na milele, milele daima Bwana wangu
Milele na milele, milele daima Bwana wangu we

Wewe ndiwe Baba yangu
Msaada wangu wa karibu
Wewe ndiwe baba yangu
Msaada wangu wa karibu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Bwana Yesu (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

EUNICE NJERI

Kenya

Eunice Njeri is a Gospel singer  from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE