Accueil Recherche Pays Albums

Swahiba

DRAGON

Swahiba Lyrics


Najua una ndoto toka mtoto
Upo shule 
Ila ni changamoto ndo uko hapo
Simama twende

Umechapika viboko vya matatizo uwoo
Toka kule
Liko karibu yako basi la faraja
Panda twende

Kwanza pandisha mrege
Suruali weka sawa
Alafu nikuelezege
Mambo yatokuwa dawa

Unasubiri upewe pesa na serikali yako
Nayo inasubiru kujengwa na nguvu zako
Serikali namba moja kichwa na mwili wako
Na mtaji tosha uzima, nguvu na afya yako

Pambana ukitoe kitaa kitaa
Hakina cha kukutoa swahiba yeah

Unatakaje? Sema sema
Sema iweje? Sema sema
Huenda hutolala tena 

Hutaamka tena yoh, sema sema
Huenda utachange kidogo
Change kidogo, sema sema

Hakuna haja kukuchana
We bado ni kijana na una nguvu
Miaka inakwenda kasi sana
Fanya vya maana, acha uvivu

Kutwa kucha kwenye vijiwe
Acha iyoo, aaah
Kuharibu watoto wa watu
Lugha zako chafu iyoo, aah

Unajua kwamba kesho wewe ndo mzazi
Unajua kwamba we ndo taifa tegemezi
Unajua kwamba tegemeo kwa wazazi
Unajua kwamba

Tusipoongea sisi ataongea nani?
Kidole kila siku uwe wewe tu
Kwani wewe nani?

Kwanza pandisha mrege
Suruali weka sawa
Alafu nikuelezege
Mambo yatokuwa dawa

Unatakaje? Sema sema
Sema iweje? Sema sema
Huenda hutolala tena 

Hutaamka tena yoh, sema sema
Huenda utachange kidogo
Change kidogo, sema sema

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Swahiba (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DRAGON

Tanzanie

Dragon is a Tanzanian rising star. Dragon featured Pierre Liquid "Konki Master" in April 2 ...

YOU MAY ALSO LIKE