Home Search Countries Albums

Busu Lyrics


Shika mabega nikushike hips
Kiss my cheeks, kiss my lips
Nafeel alright kama nipo heaven
Niamini mommy we ndo my girlfriend

Mikono inakutana ndimi zinagusana
Wazushi tusiwape chance
You are my valentine you are my fiancee
Japo wanachonga bado tunasurvive

Kama vipi beiby twende zetu ugriti
Tukale masanga tukale mvinyo
Kabla ya salam nipe busu lako duu
Waone jinsi gani nakusudu

Toka 8town mpaka Rock City Mwanza
We mlimbende ndo mrembo wa kwanza
Listen, last night ulinionyesha chuchu
Zilivyoumbika na zilivyo kiduchu

Nilisisimuka na nikapata uchu
Kabla ya chochote kwanza ukanipa busu
Kisha tukaproceed ukaniuliza 
Unafeel baridi na unahisi joto ukiwa na mimi
Ukataka cheat case, nikakupa wet case
Ukataka deep kiss nikakupa hot kiss

Busu, taratibu mama
Busu, linanichanganya
Busu, kile unachofanya mama
Na wanawake ni wale wale
Mapenzi ni yale yale
Kama umeniroga kaongezee chale mama aah

Nilivyokupa pete hukukataa
Nikapropose watu wakashangaa
Leba tupo ndani wanoko wanaduaa
Yes Dr Matekenya acha nikutibu
Vicheche wanahanya wanakosa majibu
Lips zako ni zaidi ya dhahabu

Hips zako zinawatia adabu
Wakikuona wanapata adhabu
Wanaona haya walitaka ubaya
Tusiwasikize beiby we nipe raha

Busu, taratibu mama
Busu, linanichanganya
Busu, kile unachofanya mama
Na wanawake ni wale wale
Mapenzi ni yale yale
Kama umeniroga kaongezee chale mama aah

Usijehangaika na kina nani
Kwenye mapicha picha mitandaoni
Mi nawe zuga kama huwaoni
Utunze penzi langu

Ila ukifuata zile 'nakupenda sana'
Utapenda wangapi?
Mtu wangu hangaika nikutunze mama 
Usijekula makapi

Wanawake ni wale wale
Mapenzi ni yale yale
Kama umeniroga kaongezee chale mama aah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Busu


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DR MATEKENYA

Tanzania

Dr Matekenya is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE