Chomeka Lyrics
Chomeka! Kama kole katika
Sambasolt binuka, kama puto pasuka(Oya eeh)
Chomeka! Kama kole katika
Sambasolt binuka, kama puto pasuka
Let me do , let me do yah
Let me do, le me do let me do let do yah
You are my boo, your my boo
Your my boo come closer I wanna hold yah!
Sing'atuki tunagandana
Cheki mpaka sura zinafanana(Eya!)
Tunda langu usije litoa
Changanya miguu cheza pouwa
Slow slow baby nipe kwa ivi
Ayaya, yani mtoto mzuri
Tunaelewana, tumeshashibana
Yani penzi kama kamba tumeshafungana
Chomeka! Kama kole katika
Sambasolt binuka, kama puto pasuka(Oya eeh)
Chomeka! Kama kole katika
Sambasolt binuka, kama puto pasuka(Oya eeh)
Chomeka! Kama kole katika
Sambasolt binuka, kama puto pasuka(Oya eeh)
Chomeka! Kama kole katika
Sambasolt binuka, kama puto pasuka
Yaani kachiri saga saga(Kachiri saga saga )
Kwenye penzi sina woga(Oo sina woga)
Nakanyaga kinaga ubaga
kinaga ubaga baga baga
Uno la kichaga linavunja chaga!
Ukilicheza vanga unanichanganyaga!
Oooh ooh napanda kichaa
Unavyozungusha kama mshale wa saa
Oooh!
Natamani nikueke password(password!)
Ubaki kwangu so special(Special!)
Au tuhamie Mars(Oooh mars oo mars)
Tunda langu usije litoa
Changanya miguu cheza pouwa
Slow slow baby nipe kwa ivi
Ayaya, yani mtoto mzuri
Tunaelewana, tumeshashibana
Yaani penzi kama kamba tumeshafungana
Chomeka! Kama kole katika
Sambasolt binuka, kama puto pasuka(Oya eeh)
Chomeka! Kama kole katika
Sambasolt binuka, kama puto pasuka(Oya eeh)
Chomeka! Kama kole katika
Sambasolt binuka, kama puto pasuka(Oya eeh)
Chomeka! Kama kole katika
Sambasolt binuka, kama puto pasuka
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Chomeka (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
DRAGON
Tanzania
Dragon is a Tanzanian rising star. Dragon featured Pierre Liquid "Konki Master" in April 2 ...
YOU MAY ALSO LIKE