Asante Lyrics

Sijui nini nikupatie
Unanipenda sana mie
Kwa nini unihurumie
Nimekosea vingi mie
Najua napo toka
Mbele naona giza
Hata nikindondoka
Malaika unawaagiza
Baba, asante
Baba, asante
Asante, asante
Asante Mungu Baba
Asante, asante
Asante Mungu Baba
Ni wewe tu ule niinua juu
Ni wewe tu unanifuta machozi
Unaniondoa wasiwasi
Shida zangu aliye juu
Ukaniongoza ukanibeba
Ukanipa na faraja uuh
Ha ni wewe tu
Ni wewe baba
Ni wewe tu
Ndie wewe ulinishika mkono
Ukaniongoza ukanivusha salama
Asante, asante
Asante Mungu Baba
Asante, asante
Asante Mungu Baba
Mimi ni shabiki mkubwa
Kazi yako Mungu (Ni wewe Baba)
Mimi ni shabiki mkubwa
Kazi yako Mungu (Ni wewe Baba)
Baba, asante
Baba, asante
Asante, Asante, Asante!
Asante, asante
Asante Mungu Baba
Asante, asante
Asante Mungu Baba
Asante Baba
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Asante Mama (Album)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE