Haunisumbui Lyrics

(Ayolizer)
Si kokoko si kandambili
Yaani vyote havikupendezi
Mwana ngoko usio nawiri
Tope bin utelezi
Utaishia kututabiri
Tubomoke inasonga miezi
Mola ameshatakabiri
Usijichoshe halivunjiki penzi
Ona umekosa nuru
Umekosa bahati huna
Unaitwa kunguru
Ukifika wananuna
Ndo ndo ndo mwana chururu
Asiye mbuzi wataka chuna
Mengine nisikufuru mmmh
Hazikukai maskara
Wala make up zina kushuka
Uso ume ku parara
Mwili shock up zimetenguka
Uso sauti ya stara
Kwa kudeka una wehuka
Jibwa koko la Mbagala
Linabweka na kubwetuka wala
Wala haunisumbui wala
Wala haunisumbui wala
Wala haunisumbui wala
Wala haunisumbui wala
Na hizo post mara kubebana
Mara ati mnabusu mtamaliza bando
Unaowatuma ku nitukana
Siogopi mashushu me wala michambo
Kutwa kwa ma-page fake
Kama Lokole linahusu
Mkwe hakutaki eti
Mwenzangu pole mbona kuntu
Vi message kujitumisha
Kwa ndugu zangu marufuku
Nyota imekufubika
Usi-force umaarufu
Upepo wa kisulisuli
Unakuchukuwa na nuksali
Tanga lipulipuli
Wanakununua kwa mizani
Kwangu mpambe shughuli
Najiashua burudani
Na toto nzuri nzuri
Nimelitua tuli ndani ii
Ona umekosa nuru
Umekosa bahati huna
Unaitwa kunguru
Ukifika wananuna
Ndo ndo ndo mwana chururu
Asiye mbuzi wataka chuna
Mengine nisi kufuru
Usiye wa shaba wala chuma
Wala haunisumbui wala (Hamnikomeshi)
Wala haunisumbui wala (Mjipost ma Instagram)
Wala haunisumbui wala (Hamniteteshi)
Wala haunisumbui wala (Wala)
(Wasafi)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Haunisumbui (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
DIAMOND PLATNUMZ
Tanzania
Naseeb Abdul Juma ( born on 2nd October 1989 ), popularly known by his stage name Diamond Platnumz, ...
YOU MAY ALSO LIKE