Home Search Countries Albums

Haunisumbui

DIAMOND PLATNUMZ

Read en Translation

Haunisumbui Lyrics


(Ayolizer)

Si kokoko si kandambili 
Yaani vyote havikupendezi
Mwana ngoko usio nawiri 
Tope bin utelezi

Utaishia kututabiri
Tubomoke inasonga miezi
Mola ameshatakabiri 
Usijichoshe halivunjiki penzi

Ona umekosa nuru
Umekosa bahati huna
Unaitwa kunguru 
Ukifika wananuna

Ndo ndo ndo mwana chururu
Asiye mbuzi wataka chuna  
Mengine nisikufuru mmmh

Hazikukai maskara 
Wala make up zina kushuka 
Uso ume ku parara
Mwili shock up zimetenguka 

Uso sauti ya stara
Kwa kudeka una wehuka
Jibwa koko la Mbagala 
Linabweka na kubwetuka wala

Wala haunisumbui wala
Wala haunisumbui wala
Wala haunisumbui wala
Wala haunisumbui wala

Na hizo post mara kubebana 
Mara ati mnabusu mtamaliza bando
Unaowatuma ku nitukana 
Siogopi mashushu me wala michambo

Kutwa kwa ma-page fake
Kama Lokole linahusu 
Mkwe hakutaki eti 
Mwenzangu pole mbona kuntu

Vi message kujitumisha 
Kwa ndugu zangu marufuku
Nyota imekufubika
Usi-force umaarufu

Upepo wa kisulisuli 
Unakuchukuwa na nuksali
Tanga lipulipuli 
Wanakununua kwa mizani

Kwangu mpambe shughuli
Najiashua burudani
Na toto nzuri nzuri
Nimelitua tuli ndani ii 

Ona umekosa nuru
Umekosa bahati huna
Unaitwa kunguru 
Ukifika wananuna

Ndo ndo ndo mwana chururu
Asiye mbuzi wataka chuna 
Mengine nisi kufuru
Usiye wa shaba wala chuma

Wala haunisumbui wala (Hamnikomeshi)
Wala haunisumbui wala (Mjipost ma Instagram)
Wala haunisumbui wala (Hamniteteshi)
Wala haunisumbui wala (Wala)

(Wasafi)
 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Haunisumbui (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

DIAMOND PLATNUMZ

Tanzania

Naseeb Abdul Juma ( born on 2nd October 1989 ), popularly known by his stage name Diamond Platnumz, ...

YOU MAY ALSO LIKE