Home Search Countries Albums

Amini

D NJIWA

Amini Lyrics


Kuna vitu vya utani
Nilihisi kuogopa
Kukukosa maishani
Nilihisi kuogopa

Kuna vitu vya utani
Ila bado sikuchoka
Ati unakwenda unarudi
Unidanganye ati unaenda sokoni

Kumbe unafanya kusudi
Umepita na mwaka sikuoni
Leo bora umerudi
Unanifanya natabasamu usoni

Umerudi beiby nimepagawa
Ndo mwisho wa kuondoka
Ninogeshe beiby twende sawa
Mi sitochoka

Amini, we ndo sababu ya mi kuumia
Amini, mi nateseka unanionea 
Amini, we ndo sababu ya mi kuumia
Amini, mi nateseka unanionea 

Nilikukumbuka saa
Jitahidi ongezea ata zaidi ingawa
Sijashiba umeshanawa
Njoo uniongeze inikolee dawa

Nikiwa na wewe 
Nipakulie mwisho nitapikie dawa
Usiwe na wengi
Nikupikie mpaka utulie sawa

Umerudi beiby nimepagawa
Ndo mwisho wa kuondoka
Ninogeshe beiby twende sawa
Mi sitochoka

Amini, we ndo sababu ya mi kuumia
Amini, mi nateseka unanionea 
Amini, we ndo sababu ya mi kuumia
Amini, mi nateseka unanionea 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Amini (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

D NJIWA

Tanzania

D Njiwa is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE