Home Search Countries Albums

In Love

CHIKUZEE

In Love Lyrics


Nataka waninyonge wanipeleke Kamiti
Wazazi sina mapepe
Alivyofall kidege, na mi nimefall in love
Na mi nimefall in love eh eh

Nikupeleke Bundu kwetu kwa mama
Kajifunze kupika kuni sio makaa
Zile swaga za kwako wote wanavaa
Hatoziweza, woman I love you

Mwendo wa ki te te teka
Nami nyuma nyuma nadeka
Mgongoni ani be be beba
Anirudishe utotoni

Mwendo wa ki te te teka
Nami nyuma nyuma nadeka
Mgongoni ani be be beba
Anirudishe utotoni

Nah nah nah nah nah nah nah
Nah nah nah nah nah nah yeah

Unaponiona jicho ukilirembua
No usemi usemi my baby
Na kiuno ukikata ka kina mfupa
Umenimaliza baby

Unaponiona jicho ukilirembua
No usemi usemi my baby
Na kiuno ukikata ka kina mfupa
Umenimaliza baby

You are so beautiful baby girl yeah
I don't wanna think of anyone
Nikikushika huku umevimba si haba
Tukilala wote unanikaba kaba

Unavyolala ukichora saba
Unanikumbusha vya kibaba baba 
Unavyolala ukichora saba
Unanikumbusha vya kibaba baba 

Ninapokosa mpenzi wangu
Inabidi univumilie
Usije ni-- na machangu
Ah baby ah baby

Mwendo wa ki te te teka
Nami nyuma nyuma nadeka
Mgongoni ani be be beba
Anirudishe utotoni

Mwendo wa ki te te teka
Nami nyuma nyuma nadeka
Mgongoni ani be be beba
Anirudishe utotoni

Nah nah nah nah nah nah nah
Nah nah nah nah nah nah yeah

Unaponiona jicho ukilirembua
No usemi usemi my baby
Na kiuno ukikata ka kina mfupa
Umenimaliza baby

Unaponiona jicho ukilirembua
No usemi usemi my baby
Na kiuno ukikata ka kina mfupa
Umenimaliza baby

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : In Love (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CHIKUZEE

Kenya

Chikuzee is an artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE