Malaika Lyrics
Si wanapenda kubeng
(Genius x66)
Ola mama ola, ola mama ola
Ola mama ola, ola mama ola
Ola mama ola, ola mama ola
Katoto malaika, kabinti malaika
Kamalaika, kamalaika
I love you malaika, I love you malaika
Kamalaika, kamalaika
Malaika nakupenda, kweli nakupenda
Malaika nakupenda, kweli nakupenda
Tupendane sote, tuungane sote
Tupendane sote, tuungane sote
Kujipakanga matope, michezo ya kwi
Kujiburuza matope, michezo ya kwe
Mara Kigali koko, Dari koko
Mara kombolea lala, lala lala
This is African love, Afrika
African love, Afrika
Mama, Africa love
Afrika eeh, eeh
Katoto malaika, kabinti malaika
Kamalaika, kamalaika
I love you malaika, I love you malaika
Kamalaika, kamalaika
Malaika unataka ndogo ama bigi (Nipe yote)
Unataka mbe za huko Mpalanga kwa bibi (Nipe yote)
Chungu mmmh, tamu je au nikupe kora (Nipe yote)
Mkuki mmh, rungu je au bastola (Nipe yote)
Sinyorita (Angel)
Malaika (Angel)
Mi amor (Angel)
Despacito (Angel)
Nikupe guitar au kinanda au nikupe ngoma (Nipe yote)
Na kwa bedi shosho ah mbuzi kagoma (Nipe yote)
Vya mission, au ameta, au sharakani (Nipe yote)
Vya metule, au jupiter, au duniani (Nipe yote)
Margarita (Angel)
Mamacita (Angel)
Kifua saa sita (Angel)
Na viuno nane tisa (Angel)
Cheza, tucheze
Cheza tucheze (Angel)
Cheza, tucheze
Cheza tucheze (Angel)
Cheza, tucheze
Cheza tucheze (Angel)
Cheza, tucheze
Cheza tucheze (Angel)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Burudani (EP)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
CHEGE
Tanzania
CHEGE CHIGUNDA, born Said Juma Hassani on October 8th, 1979, is a singer, song writer and dancer fro ...
YOU MAY ALSO LIKE