Unanipenda Lyrics

Ooooh ooh yeiyee ooooh woow ohhhh
Inanitosha kujua kua Unanipenda
Japo ninapitia katika Magumu
Najua hutoniacha wala hutonitupa
Sababu ninajua jambo moja
Yesu unanipendaa aaah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Inanitosha kujua kua Unanipenda
Japo ninapitia katika Magumu
Najua hutoniacha wala hutonitupa
Sababu ninajua jambo moja
Yesu unanipendaa aaah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Wakati Mwingine Upendo wako
Unaniumiza
Sio kwasababu unayo nia mbaya
Ila unanifundisha
Unaempenda unamrudi nakumuelekeza
Sababu unampenda aaaah eeeh
Upendo wako sio wakunipa Magari
Wakunipa fedha na mali
Upendo wako ni zaidi ya hayo
Umenizunguka pande zote
Sometimes haumalizi vita ila hunipa utulivu wa ndani
Upendo wako unanipa Amani
Upendo wako unanitoshelezaaa
Inanitosha kujua kua Unanipenda
Japo ninapitia katika Magumu
Najua hutoniacha wala hutonitupa
Sababu ninajua jambo moja
Yesu unanipendaa aaah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Inanitosha kujua kua Unanipenda
Japo ninapitia katika Magumu
Najua hutoniacha wala hutonitupa
Sababu ninajua jambo moja
Yesu unanipendaa aaah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
Unanipenda aah
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : UNANIPENDA (Single)
Copyright : (c) 2020, GRIPA MUSIC & DG PRODUCTION
Added By : Afrika Lyrics
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE