Home Search Countries Albums

Jela

BRIGHT

Jela Lyrics


Walisema nyota njema asubuhi
Naamka kwenda kazini
Kibaruani yeah, yeah...

Napiga magoti chini
Namuomba Mungu 
Anipe changu cha halali yeah...

Sijui nitafika vipi?
Sijui nitapata kipi?
Mola ndo mgawa ridhiki
Na tupo wengi sijui yangu ni ipi?

Hivi kweli unaniona 
Mbona natafuta bado sijaona
Ncha ya ugonjwa sijapona
Imani ninayo bila dawa sitopona

Au niende jela, mbona sielewi
Ninaunga tela 
Nawaaga masela, maisha yamepanda bei
Mi naunga tela 

Au niende jela, mbona sielewi
Ninaunga tela 
Nawaaga masela, maisha yamepanda bei
Mi naunga tela 

Ayayaya ma...ayayaya
Ayayaya ma...ayayaya
Ayayaya ma...ayayaya
Ayayaya ma...ayayaya

Ah, naona kama movie
Picha haliishi 
Starring mbona hatari

Kwangu ni makuzi
Miaka inakwenda
Na midevu imenijaa hatari

Sina ugunduzi 
Na gaagaa na upwa leo
Inanikataa bahari

Yeah....ooooh
Mgua shingo, mgua roho
Usaha umekaba kwenye koo
Juzi nimekula kiporo
Leo nimeshinda ngomaroo

Mgua shingo, mgua roho
Usaha umekaba niombapo
Panya katafuna godoro
Pesa imekula chochoro

Hivi kweli unaniona 
Mbona natafuta bado sijaona
Ncha ya ugonjwa sijapona
Imani ninayo bila dawa sitopona

Au niende jela, mbona sielewi
Ninaunga tela 
Nawaaga masela, maisha yamepanda bei
Mi naunga tela 

Au niende jela, mbona sielewi
Ninaunga tela 
Nawaaga masela, maisha yamepanda bei
Mi naunga tela 

Ayayaya ma...ayayaya
Ayayaya ma...ayayaya
Ayayaya ma...ayayaya
Ayayaya ma...ayayaya

Au nikale kwa foleni
Nizunguke yaani kama treni
(Nikirudi nina mahela)

Tumbo lilimponza tako jela
Manze tumbo lilimponza tako jela
Bear, I see you bro

(Lets take over the game)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Jela (Single)


Copyright : (c)2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BRIGHT

Tanzania

...

YOU MAY ALSO LIKE