Home Search Countries Albums

Noma Lyrics


Nyauloso once again
Mapanch tenaa

Yaani kwenye maisha
Utakiwi kua na stress
Leo ukikosa kesho utapatana na we
Bado una nafasi imewekwa for you
Tengeneza nafasi imewekwa for you

Rohoo, kwenye maisha kaza roho
Usichoke kaza roho oh
Nawe utapata kaza roho oh
Roho oh, roho oh

Bei ghali, ooh bei ghali
Na kila kitu kinakuwa bei ghali
Bei ghali, ooh bei ghali
Jipandishe na wewe bei ghali

Maisha noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma
Hii life noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma  

Kuna mwingine anahonga grace
Kaza moyo nawe God atabless
Haya maisha mwombe Jah atabless
Na vile tunaishi peace no case

Upo kitandani kusimama huwezi
Basi mwombe Mungu atakuwa nawe aah
Gerezani umebambiwa kesi
Mwache Mungu Baba atakuwa nawe aah

Rohoo, kwenye maisha kaza roho
Usichoke kaza roho oh
Nawe utapata kaza roho oh
Roho oh, roho oh

Bei ghali, ooh bei ghali
Na kila kitu kinakuwa bei ghali
Bei ghali, ooh bei ghali
Jipandishe na wewe bei ghali

Maisha noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma
Hii life noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma  

Hata uwe na magari pesa nyumba
Hata uwe mbabe shinda Weather
Hata uwe na kiwanda cha mafedha
Hata uwe na akili zaidi ya professor

Usipokuwa na upendo wa dhati noma
Tusiishi kwa kulipana visasi noma

Rohoo, kwenye maisha kaza roho
Usichoke kaza roho oh
Nawe utapata kaza roho oh
Roho oh, roho oh

Bei ghali, ooh bei ghali
Na kila kitu kinakuwa bei ghali
Bei ghali, ooh bei ghali
Jipandishe na wewe bei ghali

Noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma
Hii life noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma  

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Noma (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BONGE LA NYAU

Tanzania

Bonge la Nyau is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE