Hauna Lyrics
Iyeee ye ye ye
Iye ye ye
Wo wo wo
Ilikuwa inakuumaga ukiniona nae
Ilikuwa inakuchomaga mwanaume wewe
Ulitamani wewe ndo uwage mie
Ndo maana nilivyo muacha ukaamua umuoe
We hauna, we hauna
Hauna moyo kabisa hauna
We hauna, we hauna
Ulumagiki hata kulika
Hauna wewe
Alivopika chakula
Ulikuwa wakaa jikoni
Sikujua ni kwanini
Nilijua ushemeji tu
Kumbe kule mlikua
Mnayapanga ya kwenu nyinyi
Mpaka umemteka
Umekua gaidi juu
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji oh
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji
Aah shemeji eeh
Shemeji shemeji eeeh
Kiroho upande, shemeji eeh
Shemeji shemeji eeh, kishingo upande
Mara oh tunaendana unaomba tusije kuachana
Eti unatupendaga sana kumbe we nichora
Kumbe nyuki mwenye laana
Kaniacha manundu ya machana
Nilivyo beep ukapiga tu mapema
Ukasepa na sinyora
Kama masihara umemvisha na shela
We mwana ni mbaya oh ni mbaya
Sijui ulimpa dawa au ndo hela
Ila yote sawa
Mi nasema Inshallah mungu atalipa
Alivopika chakula
Ulikuwa wakaa jikoni
Sikujua ni kwanini
Nilijua ushemeji tu
Kumbe kule mlikua
Mnayapanga ya kwenu nyinyi
Mpaka umemteka
Umekua gaidi juu
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji oh
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji
Aah shemeji eeh
Shemeji shemeji eeeh
Kiroho upande, shemeji eeh
Shemeji shemeji eeh, kishingo upande
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2017
Album : Hauna (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ASLAY
Tanzania
Isihaka Nassoro aka Dogo Aslay is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...
YOU MAY ALSO LIKE