Kilangakomo Lyrics

Uvivu wa kuchagua nimeula wa chuya
Nilichagua sura, wala sikujali tabia
Na kubwa kupungua ndipo kanijia
Mateso yake kutwa namfikiria
Kumbe nimeuziwa mbuzi kwa gunia
Kwenye cover burger ndani nilikuta bajia
Mbona nampenda sana
Ninamlinda sana
Ananitesa jama mama
Nahisi amechanganya
Moyo unagandama
Nataka kula nyama, nyama
Oh laini anatoka sasa bar
Simu ukipiga inatumika
Message anazionaga
Dhiki za - zimejaa anazipitaga
Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie
Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie
Nishaga kumbana na pazi na kazi nikakosa
Baada ya kufuma message nikamiss kutomaswa
Nishagombanaga naye ni fundi wa msasa
Kapiga msasa bedi na penzi akala kabisa
Sasa nikupe nini wewe malkia
Utulie kama nilivyotulia
Unataka nife siku hazijafikia
Hicho labda ndicho unasubiria mmmh
Mbona nampenda sana
Ninamlinda sana
Ananitesa jama mama
Nahisi amechanganya
Moyo unagandama
Nataka kula nyama, nyama
Oh laini anatoka sasa bar
Simu ukipiga inatumika
Message anazionaga
Dhiki za - zimejaa anazipitaga
Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie
Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Kilangakomo (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ASLAY
Tanzania
Isihaka Nassoro aka Dogo Aslay is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...
YOU MAY ALSO LIKE