Home Search Countries Albums

Herode Lyrics


Herode mfalme wa Waisraeli
Herode mfalme wa Waisraeli
Alisikia habari kutoka kwa mama wajuzi
Alisikia habari kutoka kwa mama wajuzi

Yakwamba katika hori amezaliwa mtoto
Yakwamba katika hori amezaliwa mtoto
Kwa jina lake wanamuita Emmanueli
Kwa jina lake wanamuita Emmanueli, yeah

Akawatuma wapelelezi, Herode
Akaagiza jeshi lake liende Jerusalemu
Akawatuma wapelelezi, Herode
Akaagiza jeshi lake liende Jerusalemu

Jambo la kwanza, mtoto auawe
Jambo la pili, atafutwe jina lake 
Jambo la tatu, haribu mpango wake
Jambo la nne, haribu ndoto zake
Jambo la tano, asitangazwe mfalme
Eeeh Herode

Jambo la kwanza, mtoto auawe
Jambo la pili, atafutwe jina lake 
Jambo la tatu, haribu mpango wake
Jambo la nne, haribu ndoto zake
Jambo la tano, asitangazwe mfalme
Eeeh Herode

Hakujuwa aliyezaliwa, simba wa Yuda
Hakujuwa jina lake ni moto ulao
Hakujuwa mwanaume Yesu ni mfalme wa ulimwengu

Hakujuwa aliyezaliwa, simba wa Yuda
Hakujuwa jina lake ni moto ulao
Hakujuwa mwanaume Yesu ni mfalme wa ulimwengu
Yeah, Herode

Oooh mwambie Herode(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie nalindwa na Yesu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako na vitisho vyako(Mimi hautoniweza aah)

Oooh mwambie ninaye simba wa Yuda(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako sio bunduki kwangu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Eeeh mwambie, mwambie(Mimi hautoniweza aah)

Herode wako yuko wapi ndugu yangu?
Herode wako yuko wapi mama yangu?
Herode wako yuko wapi ndugu yangu?
Herode wako yuko wapi mama yangu?
Eeh, Herode

Anatafuta nyota yako oooh
Anatafuta elimu yako oooh
Anatafuta uchumi wako oooh
Anawinda ndoa yako iharibike(Hataliweza)
Anawinda ndoto yako isitimie(Hataliweza)
Anawinda mchumba wako akutenganishe(Hatakuweza)
Anaagiza jeshi lake likuuwe(Hatakuweza aah)

Oooh mwambie Herode(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie nalindwa na Yesu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako na vitisho vyako(Mimi hautoniweza aah)

Oooh mwambie ninaye simba wa Yuda(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako sio bunduki kwangu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Eeeh mwambie, mwambie(Mimi hautoniweza aah)

Oooh mwambie Herode(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie nalindwa na Yesu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako na vitisho vyako(Mimi hautoniweza aah)

Oooh mwambie ninaye simba wa Yuda(Mimi hautoniweza aah)
Maneno yako sio bunduki kwangu(Mimi hautoniweza aah)
Oooh mwambie Herode mama(Mimi hautoniweza aah)
Eeeh mwambie, mwambie(Mimi hautoniweza aah)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Herode (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SIFAELI MWABUKA

Tanzania

Sifaeli Mwabuka is a gospel Musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE