Home Search Countries Albums
Read en Translation

Mola Lyrics


Woyo woyo woyo

Hoho

Woyo woyo woyo

Hoho

Kwetu

Sijakuta urithi kiwanja

Baba hajawa miliki hata boda

Kula yetu kwa siku ni mala moja

Nami nimesoma hata kzi sinaaah

Na mahitaji yamepanda bei

Wadogo zang wanahitaji kusomaah

Baba na mama saivi nguvu hawanaah

Mke watoto nao wananitazama

Mwenye nyumba nae anataka kodi

Mgambo wa jiji wana nifukuza load

Naomba baraka zako baba aah (mola)

Nibaliki na mimi hapa (mola)

Maisha mazuli kama wale (mola)

Nizi sahau shida one day (mola)

Usi nipite bab usinipite

Niguse na mkono wakooh (mola)

nibaliki na mimi hapa (mola)

Maisha mazuli kama wale (mola)

Nizi sahau shida one day (mola)

Usi nipite bab usinipite

Niguse na mkono wakooh

Uko kitaani majanga

Mabinti wana wanapewa mimba

Kisa vipesa vyaunga

Nani ata piga kipenga

Zime potea ndoto za utajiri

Nacho waza nikwenda mbali

Nikatafute mali niludi nyumbaniih

Wadogo zangu wanahitaji kusomaah

Baba na mama saivi nguvu kawanaah

Mke watoto nao wananitazama

Mwenye nyumba nae anataka kodi

Mgambo wa jiji wana nifukuza load

Naomba baraka zako baba aah (mola)

Nibaliki na mimi hapa (mola)

Maisha mazuli kama wale (mola)

Nizi sahau shida one day (mola)

Usi nipite bab usinipite

Niguse na mkono wakooh (mola)

nibaliki na mimi hapa (mola)

Maisha mazuli kama wale (mola)

Nizi sahau shida one day (mola)

Usi nipite bab usinipite

Niguse na mkono wakooh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

BEST NASO

Tanzania

Best Nasso is an artist/songwriter  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE