Accueil Recherche Pays Albums

Anawaza

BEST NASO

Anawaza Lyrics


Halima ooh beiby
Ni binti wa nyika nyika
Namwita kisura ooh beiby
Mwanamke mtafutaji

Halima mama, maisha yake yanatia huruma
Baba na mama yake wote ni vilema
Hawana elimu, hawana ujuzi, kifupi hawajasoma
Uwaheshimu wazazi wako ata kama vilema
Mie namsifu Halima, hajawahi rudi nyuma

Halima ye ndo atafute, alete nyumbani apike
Awalishe wadogo zake, vilema kamwe mamake
Muda mwingine analia namkufuru Mungu
Eti kwa nini amezaliwa?
Nami inanihuzunisha inanipa uchungu

Halima mama wazazi wake wote ni vilema(Halima)
Halima mama wazazi wake wote ni vilema(Halima)
Kutwa kucha pilika mtunze baba(Halima)
Kutwa kucha pilika mtunze mama(Halima)
Ukimkuta amekaa jua anawaza(Halima)
Halima pole mama kusaga rhumba

Halima doh(Doh doh), mami sina doh
Ningekuwa na pesa ningekuwezesha 
Akipata wachumba wanamkimbia Halima(Halima Roza)
Wengine wanasema labda ni laana
Hee, muda mwingine anafanya kazi anadhulumiwa
Anatamani angekuwa na kaka anamsaidia

Amechoka maisha yake, mara abakwe azalilishwe
Akitazama familia yake, bila yeye si chochote(Halima Roza)
Ipo siku kwenye jua itanyesha mvua (Halima Roza)
Usichoke usiogope ongeza nia(Halima Roza)

Halima ye ndo atafute, alete nyumbani apike
Awalishe wadogo zake, vilema kamwe mamake
Muda mwingine analia namkufuru Mungu
Eti kwa nini amezaliwa?
Nami inanihuzunisha inanipa uchungu

Halima mama wazazi wake wote ni vilema(Halima)
Halima mama wazazi wake wote ni vilema(Halima)
Kutwa kucha pilika mtunze baba(Halima)
Kutwa kucha pilika mtunze mama(Halima)
Ukimkuta amekaa jua anawaza(Halima)
Halima pole mama kusaga rhumba

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Anawaza (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEST NASO

Tanzanie

Best Nasso is an artist/songwriter  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE