Hata Hili Litapita Lyrics

Nitayainua macho yangu nitazame milima
Msaada wangu utatoka wapi (toka wapi eeeh...)
Msaada wangu ni katika weeee
Usiye acha nipoteee chini ya msalaba wako
Nitayainua macho yangu nitazame milima
Msaada wangu utatoka wapi
Msaada wangu ni katika weeee
Usiye acha nipoteee chini ya msalaba wako
[CHORUS]
When you say
Hatahili litapita
Hata yale yalivyopita
Chini ya msalaba wako
Hatahili litapita
Hata yale yalivyopita
Chini ya msalaba wako
Hatahili litapita
Hata yale yalivyopita
Chini ya msalaba wako
Hatahili litapita
Hata yale yalivyopita
Chini ya msalaba wako
[PAUL CLEMENT]
Chini ya uvuli wako najisitiri
Mbali na shida za maisha
Nifunike na pendo lako
Chini ya msalaba wako
Chini ya uvuli wako najisitiri
Mbali na shida za maisha
Nifunike na pendo lako
Chini ya msalaba wako
Chini ya uvuli wako najisitiri
Mbali na shida za maisha
Nifunike na pendo lako
Chini ya msalaba wako
[CHOIR]
Chini ya uvuli wako najisitiri
Mbali na shida za maisha
Nifunike na pendo lako
Chini ya msalaba wako
Chini ya uvuli wako najisitiri
Mbali na shida za maisha
Nifunike na pendo lako
Chini ya msalaba wako
Hatahili litapita
Hata yale yalivyopita
Chini ya msalaba wako
Hatahili litapita
Hata yale yalivyopita
Chini ya msalaba wako
Halleluyah
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2018
Album : Hata Hili Litapita (Single)
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE