Home Search Countries Albums

Tell Me

BEKA FLAVOUR

Tell Me Lyrics


Why umeshika shavu, au kuna kitu mbaya my love
Mmmh wapi nimekosea nieleze kushoto wangu ubavu mmmh
Mapenzi ni mchezo wa kubembelezana
Kama nimekosea niambie nikuombe msahama
Mbona sioni cheko kama juzi na jana
Labda ungenigusia nielewe kipi cha kufanya mmmh
Ni malaika labda anaejua nilipokosea mada
Najua moyo wako wakaba ila mumeo pembeni sina kimada eeh
Ni malaika labda anaejua nilipokosea mada
Najua moyo wako wakaba ila mumeo pembeni sina kimada

Basi baby mama, tell me tell me tell me
Kama nimekukosea sana, tell me tell me tell me
Mmmh baby mama, tell me tell me tell me
Kama nimekukosea sana, tell me tell me tell me

Kama ndoa tutafunga nilishasema
Vumilia baby bado mapema
Mambo mengine mpaangali maulana
Hei sasa nimeelewa vema
Uliona maseli kwenye simu yangu
Hilo najua ndo lilikuchengua
Ule muamala nilituma kwa mama
Ila namba yake sikutumia
Subiri subiri my dear
Tamanio lako me nalijua
Amini amini siunajua
Huu mtima wangu nimekupea
Mmmh ni malaika labda, anaejua nilipokoea mada
Najua moyo wako wakaba, ila mumeo pembeni sina kimada eeh
Eeh ni malaika labda, anaejua nilipokoea mada
Najua moyo wako wakaba, ila mumeo pembeni sina kimada

Basi baby mama, tell me tell me tell me
Kama nimekukosea sana, tell me tell me tell me
Mmmh baby mama, tell me tell me tell me
Kama nimekukosea sana, tell me tell me tell me

Me and you
Si ulisema tutakufa wote baby
Me and you
Si ulsema tutaishi wote baby
Me and you
Me and you
Me and you and you and you

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 0


Album : First Born (Album)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

BEKA FLAVOUR

Tanzania

BEKA FLAVOUR  real name Bakari Katuti is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE