Home Search Countries Albums

Mtuache

THE DREAMERS

Mtuache Lyrics


Ooohh
Mpya nguo sina kila siku mnaniwaza mnaniwaza
Eti nimepinda kila siku ninalizwa ninalizwa
Si bora mngetuacha
Kwani mnanidaiii
Sibora mngeniacha
Kwani mnanidaiii

Aaaaah Mama amekuita Veronica
Mimi nakuita sinorita Mama sita malavidavi
Telemundo temtelevida
Kweli shida zipo Ila mi nataka kuishii naaaa

We jua nakupenda sanaa sanaa aaah
Fanya fanya twende kwa mama  mamaa aah

Aaaah ye wa maishani ... bring but say (Aaaaah)
Tupo kifungoni ... what can I say (aaaaah aaah)
Ye wa maishani, maishani, maishani (aaahaa)
Tupo kifungoni oooho

Toto lina shape nyuma limenona nona jina
Minapiga peku ile mbuzi kagoma
I swear my darling we mama laaa mama laoooo
Unanipenda unanijali unanifaaa aaah

Naona nyota imewaka kila kona
Kila mmoja anafurahi kuniona
Kila kitu kiko shegaa hakuna nomaaa
Eeeh hakuna noma
Nipe kisu nikate nyama
Ikiiva nikulishe nikulishe eeh...
Lako kiss siwezi kusema na pete nikuvishe ..eeh

Aaaah aaaha ye wa maishani ... bring but say (aaaaah)
Tupo kifungoni ...what can I say (aaaaah aaah)
Ye wa maishani, maishani, maishani (aaah)
Tupo kifungoni

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Mtuache (Single)


Added By : The Dreamers

SEE ALSO

AUTHOR

THE DREAMERS

Tanzania

The dreamers is a music group from Dar es salaam Tanzania. The Group is made up of super talent ...

YOU MAY ALSO LIKE