Home Search Countries Albums

Nakupenda

BEKA FLAVOUR

Read en Translation

Nakupenda Lyrics


Mmmh

Nakupa sifa zote baby

Unanichanganya changanya eweh baby iiiih

Kwenye sita kwa sita wee fundi baby iiiih

Unanikoroga koroga sijiwezi eeh

Mbalamwezi kwa kiza unanimulika mwezako me nang’aa ng’aa

Penzi la miujiza nalopata kwako nabaki tu kushangaa

Mbalamwezi kwa kiza unanimulika mwezako me nang’aa ng’aah

Penzi la miujiza nalopata kwako nabaki tu kushangaa

Mpezi wangu nakupenda wewe tu

Me mwenzio bila wewe si kitu

Tumwombe mungu atuepushe vitu vitu

Tuishi milele mpaka tuone vitukuu

Washachelewa aah aah oweoh

Ushawaiwa aah aah oweoh

Washachelewa aah aah oweoh

Ushawaiwa aah aah ooh oweoh

Mmh eeh aah

Kuna bebe zenu halafu kuna wangu ni mtu na nusu

Penzi linawaka waka halizimi si umeme wa luku

Kuna bebe zenu halafu kuna wangu ni mtu na nusu

Penzi linawaka waka halizimi si umeme wa luku

Yeye na mimi tupo sayari yetu sayari yetu

Tumeridhiana na yetu madhaifu madhaifu

Mpenzi wangu nakupenda wewe tu

Me mwenzio bila wewe si kitu

Tumwombe mungu atuepushe vitu vitu

Tuishi milele mpaka tuone vitukuu

Washachelewa aah aah oweoh

Ushawaiwa aah aah oweoh

Washachelewa aah aah oweoh

Ushawaiwa aah aah oweoh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

BEKA FLAVOUR

Tanzania

BEKA FLAVOUR  real name Bakari Katuti is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE