Accueil Recherche Pays Albums

Poa Poa

BEKA FLAVOUR

Poa Poa Lyrics


Kuna mengi tulipanga 
Kipindi nipo na yeye(Na yeye)
Ila akaja pangua
Akayavuruga yale(Yeyeyeyeee)

Kusema za ukweli nimepata pigo
Moyo umetoboka inauma figo
Kichwa changu mwenyewe naona mzigo
Oooh

Vipi nikwepe nisikonde
Ili nisipate taabu mi ni mnyonge
Maana mawazo nusura nijinyonge
Ila no no no imani inakataa

Siwezi Taarab nimponde
Ikaja kuwa sababu watu waongee
Vinyago kama mpingo na wachonge
Ila no no no moyo unakataa

Mi nachukulia tu(Poa Poa)
Siwezi weka kwenye moyo(Poa Poa)
Mbona kawaidaa(Poa Poa)
Nitafanya nini kibogoyo?(Poa Poa)

Mi nachukulia tu(Poa Poa)
Siwezi weka kwenye moyo(Poa Poa)
Mbona kawaidaa(Poa Poa)
Nitafanya nini kibogoyo mie?(Poa Poa)

Kama kupenda nilimpenda 
Sikuchunguza kasoro
Za kwangu ndogo ndogo zimemshinda
Akachanganya kongoro

Limevuja pakacha
Siamini ameniacha doro
Eti mzee wa matakataka
Na mimi hatuna kasoro

Kwa giza totoro
Kaniacha kwa chochoro
Nacheza dombolo
Mwenyewe bila solo
Hakuwaza dada
Kwamba kuna tomorrow
(Mmmh mmmh)

Vipi nikwepe nisikonde
Ili nisipate taabu mi ni mnyonge
Maana mawazo nusura nijinyonge
Ila no no no imani inakataa

Siwezi Taarab nimponde
Ikaja kuwa sababu watu waongee
Vinyago kama mpingo na wachonge
Ila no no no moyo unakataa

Mi nachukulia tu(Poa Poa)
Siwezi weka kwenye moyo(Poa Poa)
Mbona kawaidaa(Poa Poa)
Nitafanya nini kibogoyo?(Poa Poa)

Mi nachukulia tu(Poa Poa)
Siwezi weka kwenye moyo(Poa Poa)
Mbona kawaidaa(Poa Poa)
Nitafanya nini kibogoyo mie?(Poa Poa)

Inaniuma sina la kufanya 
Mama ooh, mama ooh, mama ooh
Inaniuma sina la kufanya 
Dada ooh, dada ooh, dada ooh

Itabidi nizoee
Poa poa, poa poa
Poa poa, poa poa
Poa poa, poa poa

(Smart Music)
Mafia!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Poa Poa (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEKA FLAVOUR

Tanzanie

 BEKA FLAVOUR  est un artiste musicien tanzanien. ...

YOU MAY ALSO LIKE