Cheusi Lyrics

Cheusi kajazwa rangi ndi kanyimwa akili
Eti dume zima nalisumbua akili
Umekosea hadhi ya wanaume, mnenguaji huna kaba
Una sauti ya mama na sura ya baba
Maneno ni mengi na hicho kisauti nyororo
Sikuja niime we ukatike ndombolo
Kujichekesha chekesha mwanaume hio kasoro
Kanogeshe viringe si hatupashi viporo
Cheusi, cheusi we, cheusi
Cheusi, cheusi we, cheusi
Cheusi, cheusi we, cheusi
Cheusi, cheusi we, cheusi
Una binadamu unaujua una uma unahema
Sasa yuko kwangu inawauma, ona kwenu hatukusema
Punguzeni kuzila huu mchezo hauhitaji hasira
Isiwe zenu mashujaa, kimya kimya mpaka tumezaa
Mbona mimi hunisikii
Kwa redio wala TV
Eti ka eh niko DC
We umeweza vipi?
Maneno ni mengi na hicho kisauti nyororo
Sikuja niime we ukatike ndombolo
Kujichekesha chekesha mwanaume hio kasoro
Kanogeshe viringe si hatupashi viporo
Cheusi, cheusi we, cheusi
Cheusi, cheusi we, cheusi
Cheusi, cheusi we, cheusi
Cheusi, cheusi we, cheusi
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Cheusi (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE