Home Search Countries Albums

Zumbukuku

BARNABA

Zumbukuku Lyrics


Kwako wacha niwe mfungwa
Nimeshakubali kuwa mateka
Si nishapendana

Sijali maneno
Wakisema mchana kutwa
Jua likizama
Watavisaka vitanda

Wanachongachonga utadhani wamekula yasmini
Maneno yao kero utadhani mwarobaini
Wanachonyota wanakera utadhani nini
Wao hawana shughuli, shughuli midomoni

Penzi langu napalilia
Kisha namwagilia
Natia mbolea ili penzi liweze kua
Na likikua kisha navuna (Navuna)
Najisosomoa (Najisosomoa)
Mi si ndo bwana shamba
Siri ya shamba ndo naijua

Aki zumbukuku, nimekubali zumbukuku
Mie zumbukuku wako my love
Aki zumbukuku wananiita zumbukuku
Eti zumbukuku mie wako my love

Kibarua changu manati
Kuna muda narudi sipati
Anakaanga chapati
Imetoka iyoo

Mapenzi uchizi, bwana ukipenda
Kuna muda hata uchomwe na mwiba, maumivu husikiii
Na nikiwa nayeye, sitamani kula
Najiona tajiri kama namiliki benki kuu

Wanachongachonga utadhani wamekula yasmini
Maneno yao kero utadhani mwarobaini
Wanachonyota wanakera utadhani nini
Wao hawana shughuli, shughuli midomoni

Penzi langu napalilia
Kisha namwagilia
Natia mbolea ili penzi liweze kua
Likikua kisha navuna (Navuna)
Najisosomoa (Najisosomoa)
Mi si ndo bwana shamba
Siri ya shamba ndo naijua

Aki zumbukuku, nimekubali zumbukuku
Mie zumbukuku wako my love
Aki zumbukuku wananiita zumbukuku
Eti zumbukuku mie wako my love

Aah aah aah, eeh eeh eeh
Oooh ooh ooh jamani mwenzenu

(Kwa mix Lizer)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Refresh Mind (Album)


Copyright : (c) 2020 Hightable Sounds.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BARNABA

Tanzania

Barnaba Classic is a singer, song writer and producer  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE