Home Search Countries Albums

Yalaaniwe Mapenzi (Why)

BARNABA

Yalaaniwe Mapenzi (Why) Lyrics


Yelee yelee, ah who
Don't waste my time 
Live your life if you don't love me 

Mapenzi gani unani-stimulize
Kutwa hupatikani kwenye line
Nikiuliza unapanick why?
Why mpenzi

Muda mwingine najiuliza why?
Kivipi unanikosea
Kama misamba nabinuka why?
Ni wapi sijafikia

Ashanilaza sana macho kodo
Nikiamini atarudi on time
Nikimuuliza uko wapi nafika mara moja
Nimepita sehemu one time

Nilijinyima kuvaa, nilijinyima na kula
Ili mradi apendeze yeye tu
Nikajitenga na ndugu, nikamvumilia bubu
Ili niwe na yeye tu

Nilikupa moyo wangu ila wapi?
Wewe ukanilipa mengi makapi
Nilikupa penzi ukanilipa chozi
Yalaaniwe mapenzi

Why why why, why why love
Why why why, why why love
Why why why, why why love
Yalaaniwe mapenzi

Kama kupenda ni dhambi 
Niyo wa motoni, tena jehanamu
Kama kupenda si dhambi
Mi si wa motoni, sio wa jehanamu

Mie mlevi nimelewa penzi lake
Bado kuyumba yumba tu
Licha sijiwezi, nikanywa roho yake
Nikiamini atakuwa wangu tu

Nikimwambia tutoke wote hataki kwenda
Wakati nje ndo mambo anayapenda
Mie kutwa na vilemba
Ndani kama mke wa mpemba

Maharagwe si choroko
Lazizi tena mbona twaliota boko
Yangu sio mpengoso'
Tumepanda apple mbona tuvune korosho

Nilikupa moyo wangu ila wapi?
Wewe ukanilipa mengi makapi
Nilikupa penzi ukanilipa chozi
Yalaaniwe mapenzi

Why why why, why why love
Why why why, why why love
Why why why, why why love
Yalaaniwe mapenzi

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Yalaaniwe Mapenzi (Why) (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BARNABA

Tanzania

Barnaba Classic is a singer, song writer and producer  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE