Home Search Countries Albums

Home Part 1

BANDO

Home Part 1 Lyrics


Oooooh Shaitani Boy
Naitali Music
Jay Drummer on the Beat
Bando
Jay Drummer on the Beat

Eeeh Bwana Niridhi Nyota ya Lungu
Atabaki mlinzi Kumtukuza Mungu hakuna Tisheti
Yeye ndiye anayetoa ngojea akupe nyumba
Matatizo hapakosi mahala pa kutokea
Kuzoa maji yaliyomwagika Ila kuzoa Iyo Ni matope
Na hii Sauti Ni Loki imekuja kuosha vyombo vya Muziki

Mapenzi bro Ni firi
Dame akijiona yeye ndio mkali unamwacha ashindane na pilipili
Hii Siri ndio Nakupa Baba
Hali Ngumu my friend
Ndio maana Wafanyakazi wanapagawa

Dame Yako ndio mpangaji mpate
Lipi Si la Wasafi
Ni vyema Kuulizia
Mafuta ya Mia mbili wanauza Shilingi ngapi

Je Wajua Figo Ni pazo la Moyo
So Ukileta Wenge Kali
Tende Nazi Twende Kazi
Uende na wanao Kumbe wasenge kazi
Yesu Ni Bwana Ila sio kila bwana Ni Yesu

Unatania Leo Kama Hujui
Kitana ndio hutumika Sanar kuchania nywele
Mama Aliniambia Usijilaumu Kama
Umewachwa na Gari Bali gari Likapata

Mitaa Inasema Bando hakunanga mitaa
Siwezi kulinganishwa
Lenga Chama Lawama
Wivu kidonda Nakueleza
Hapo masnitch wanaponiona Wanakonda

Jay Drum on the beat

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Home Part 1 (Single)


Added By : Its marleen

SEE ALSO

AUTHOR

BANDO

Tanzania

Bando is a hiphop artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE