Accueil Recherche Pays Albums

Lakini

B2K MNYAMA

Lakini Lyrics


Aah nimejaliwa moyo sijui upo je
Unapendaga kote sijui ikoje
Niwe muwazi nisijeficha
Kweli mimi home mwenzio

Na kama umependwa sema
Ukweli unajenga mapema
Niwe miwazi nisijefika 
Wakati we unabaki na funguo

Ili nizugezuge nikiwaona
Nijifiche fiche kwenye kona
Mi fisi nikifosi nyama
Nitapaliwa

Ila ndo ujichunge sana
Nisione unachofanya
Nikiona unachofanya 
Nitaumia aah aah

Lakini sijui nipoje nitoe moyo
Niutupe huko
Na mimii ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Lakini sijui nipoje nitoe moyo
Niutupe huko
Na mimii ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Ila moyo koma kuhangaika
Kumbe nyumbani wanaboreka
Hata mtaani wananicheka
Sijui nipoje

Kule nlisema I love you
Na huku I love you
Shikamoo mapenzi una hisia ngapi
Vile nilipenda kule Na huku nimependa

Ili nizugezuge nikiwaona
Nijifiche fiche kwenye kona
Mi fisi nikifosi nyama
Nitapaliwa

Ila ndo ujichunge sana
Nisione unachofanya
Nikiona unachofanya 
Nitaumia aah aah

Lakini sijui nipoje nitoe moyo
Niutupe huko
Na mimii ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Lakini sijui nipoje nitoe moyo
Niutupe huko
Na mimii ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Lakini (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

B2K MNYAMA

Tanzanie

B2k Mnyama is a Tanzania artist. He is the C.E.O  of Starbeat Records. ...

YOU MAY ALSO LIKE