Home Search Countries Albums

It's Okey

NAHUMU

It's Okey Lyrics


Nahitaji tiba ya moyo wangu 
Nimuone nani?
Hospitali mitaani 
Kote nimepita hamna amani

Najua
Hatua mauja itanipa afueni
Ikifikia
Huo mtihani ulipo usoni

Its okey
Ukinipenda ukinichukia
Najua hujali
Ni penzi ambalo mi nakupatia

Mpenzi tamarirawa
Taa tamarirawa
Mpenzi tamarirawa
Taa tamarirawa

Beiby beiby nilijua
Maishani mwangu ningeumia
Penzi kama sindano linachoma
Na kunisulubu kwenye mtima

Unajua nilipokuona
Nilichokiona kwako ni ndoto
Nikajua wewe na mi
Sio baridi bali ni moto

Its okey
Ukinipenda ukinichukia
Najua hujali
Ni penzi ambalo mi nakupatia

Mpenzi tamarirawa
Taa tamarirawa
Mpenzi tamarirawa
Taa tamarirawa

Nachopata kutoka kwako
Sio kingine bali mateso
Changamoto na vituko
Ndio malipo ya penzi langu

Nimejitoa mhanga
Kwa kile ambacho mimi ninacho
Ili wewe, unipende
Beiby beiby wouwo wouwo...

Its okey
Ukinipenda ukinichukia
Najua hujali
Ni penzi ambalo mi nakupatia

Mpenzi tamarirawa
Taa tamarirawa
Mpenzi tamarirawa
Taa tamarirawa

Its okey, its okey

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : It's Okey (Single)


Copyright : (c) 2020 Kwetu Studios.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NAHUMU

Tanzania

Nahumu is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE