Nibebe Lyrics

Labda mapenzi yawaumiza roho zao
Eti kwengine sipati sijiwezi
Ndo maneno wasema
Kwamba kwako sifurukuti sijiwezi
Ndivyo hivyo wanavyosema
Na mimi nanyamaza kimya nakupenda
Naogopaa nikikuona nakuwa kimya
Sina cha kusema nakupenda
Labda sinaga faragha
Nashuka kupanda ila nakupenda
Mimi kwako ni mjinga
Sinaga ujanja waache wanaoponda
Kama chumba mi dalali (Ahh)
Penzi letu lifike mbali (Ahh)
Nibebe bee (Nakupenda usiwe na makuu)
Baby nibebe bee (Hata kama nikining'iniza miguu)
Nibebe bee (Wanataka niwe chini wao juu)
Mpenzi wee nibebe bee (Ahh ahh)
Nimesikia wamekuundia na group, matusi matupu
Wanakunyanyasa wanakutukana jitoe
Usiwe mchonga vinyago utanifilisi
Mwisho wa siku tukigombana ikawa hadithi
Wee kitumbo mbelembele kwa kuku na chipsi
Usiyeacha hata mifupa utakuwa fisi
Kama chumba mi dalali (Ahh)
Penzi letu lifike mbali (Ahh)
Nibebe bee (Nakupenda usiwe na makuu)
Baby nibebe bee (Hata kama nikining'iniza miguu)
Nibebe bee (Wanataka niwe chini wao juu)
Mpenzi wee nibebe bee (Ahh ahh)
Nibebe bee (Nakupenda usiwe na makuu)
Baby nibebe bee (Hata kama nikining'iniza miguu)
Nibebe bee (Wanataka niwe chini wao juu)
Mpenzi wee nibebe bee (Aaah aaah)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2017
Album : Nibebe (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ASLAY
Tanzania
Isihaka Nassoro aka Dogo Aslay is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...
YOU MAY ALSO LIKE