Home Search Countries Albums

Ananikomoa

ASLAY

Read en Translation

Ananikomoa Lyrics


ASLAY ANANIKOMOA

Oooh yeah… Oh yeeeah
Lalalila lila. Oooh yeah…

[VERSE 1]
Eh Mungu baba simamisha dunia nishuke
Kama na kufuru nimechoka mapenzi niache
Baba naganga mama naganga nahagaika kuzichanga
Sina kiwanja sina kitanda uongo huu
Mimi ni simba yeye ni yanga
Yanini vibweka na vimbwanga
Eeh mungu baba ninakuomba nisaidi eh
Ahh mi mpaka nashanga
Au kachoka daga
Maana vibwekabweka vimezidi
Oh jipu tumbuka usaa
Shibe shake ukaja
Kila siku visa visa vinazidi ii

[CHORUS]
Maji njoo maji njoo
Njoo ninawe mikono
Penzi laa sikitiko
Bora lifike ki-komo, aaah
Ana nikomoa (ananikomoa)
Hadai risitii yee (ananikomoa)
Ohh baby ana ni komoa (ananikomoa)
Ooh Nimechoka sitaki yeye (ananikomoa)

[VERSE 2]
Ananidharau
Ananiacha hoi (hoi)
Anajisahau ananiona toi (toi)
Mwenzenu mateso daily ninapata shida
Kupenda napenda ila napoteza muda
(Muda muda aah eeeh, aah eh )
Aah mpaka nashanga au kachoka daga
Mana vibweka bweka vimezidii
Ohh jipu tumbuka usaa
Shibe shake ukaja
Kila siku visa visa vinazidii

[CHORUS]
Maji njoo maji njoo
Njoo ninawe mikono
Penzi laa sikitiko
Bora lifije ki-komo aaah
Ana ni komoa (ananikomoa)
Hadai risitii yee (ananikomoa)
Ohh baby ana ni komoa (ananikomoa)
Ooh Nimechoka sitaki yeye (ananikomoa)

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Ananikomoa (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

ASLAY

Tanzania

Isihaka Nassoro  aka Dogo Aslay  is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...

YOU MAY ALSO LIKE