Home Search Countries Albums

Naenjoy Lyrics


Wa leo mimi wa leo
Wa leo sio wa jana
Aslay

Maisha ndo yale yale
Aah kuteswa ni kama funzo
Mmmh mengine tuyasamehe
Oooh tusiweke viulizo

Kikubwa uhai 
Nashukuru ninao sijakufa
Ila kuhusu mapenzi sitaki show
Nimeyakuta

Kukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena kupigana pigana naogopa chongo
Sitaki tena mlemavu akichoka anipa magongo
Sitaki tena kutwa kulia lia kutapika nyongo

Mapenzi yana wenyewe
Si wengine tuwache shobo
Tutazikwa wazima wazima
Eeh eeh eeh

Bora nitulie 
Umri wangu mi bado mdogo
Nisitake ya watu wazima

Naenjoy, naenjoy mama
Naenjoy, naenjoy sana 
Naenjoy japo kuwa sina kitu
Naenjoy mama
Oooh naenjoy, naenjoy sana

Nakukumbatia mtafuna roho yake
Asikwambie mtu, mtu yeyote
Ah, jamani shuka zina joto lake
Asikwambie mtu, kitu chochote

Kugandana gandana
Kuzuga tunapendana
Mwisho twaaza kuulizana 
Sitaki

Mila sizitaki nyama
Kupenda nimesimama
Moyo wangu umegoma
Hautaki ng'o

Kukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena kupigana pigana naogopa chongo
Sitaki tena mlemavu akichoka anipa magongo
Sitaki tena kutwa kulia lia kutapika nyongo

Mapenzi yana wenyewe
Si wengine tuwache shobo
Tutazikwa wazima wazima
Eeh eeh eeh

Bora nitulie 
Umri wangu mi bado mdogo
Nisitake ya watu wazima

Naenjoy, naenjoy mama
Naenjoy, naenjoy sana 
Naenjoy japo kuwa sina kitu
Naenjoy mama
Oooh naenjoy, naenjoy sana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Naenjoy (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ASLAY

Tanzania

Isihaka Nassoro  aka Dogo Aslay  is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...

YOU MAY ALSO LIKE