Tabibu Lyrics
Ni tabibu wa karibu, tabibu wa ajabu
Na neema za daima ni dawa yake njema
Hatufai kuwa hai, wala hatutumai
Ila yeye kweli ndiye atupumzishae
Imbeni malaika sifa za Yesu bwana
Pekee limetukuka, jina lake Yesu
Dhambi pia na hatia ametuchukulia
Twenendeni na amani, hata kwake mbinguni
Uliona damu jina la Yesu kristo bwana
Yu na sifa kwenye kufa asiishidwe na kufa
Imbeni malaika, sifa za Yesu bwana
Pekee limetukuka jina lake Yesu
Kila mume asimame, sifa zake zivume
Wanawake na wasiiche kusifu jina lake
Imbeni...
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2010
Album : Tabibu (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ANGELA CHIBALONZA
Kenya
Angela Chibalonza Muliri was a famous gospel singer based in Kenya. Angela Chibalonza ...
YOU MAY ALSO LIKE