Home Search Countries Albums

Ebenezer (Umbali tumetoka)

ANGELA CHIBALONZA

Read en Translation

Ebenezer (Umbali tumetoka) Lyrics


Umbali tumetoka, na mahali tumefika 
Ndio maana ninatambua, kwamba wewe ni ebeneza 
Sio kwa uwezo wangu, ila ni kwa uwezo wako 
Mahali nimefika, acha nikushukuru 

EE Bwana umenisaidia, nifike mahali nimefika 
Bwana wewe ni ebeneza, maishani mwangu oo 
Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako 
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu 

Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana 
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana 
Oo Ebeneza, jiwe langu 
Ninataka maisha yangu, yajengwe juu yako 

NInataka ndoa yangu, ijengwe juu yako baba 
Ndoa zilizojengwa juu yako yahwe, hazivunjiki kamwe 
Nyumba zilizojengwa juu yako yahweh hazivunjiki kamwe 
Ninataka uimbaji wangu baba, ujengwe juu yako 

Maana wewe ni sauti yangu, wewe ni uzima wangu 
Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako 
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu 
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana 
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana 
Oo Ebeneza, jiwe langu 

Ebeneza lang'a, libanga nangai ya tala
Ole kidya mape wolo papa ee kati na bomoyi nanga
Nzambe na kumisio, mokote ko nani nayo
Bisika nako milele o yahwe, ezali sela makasi nayo

Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako 
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu 
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana 
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana 

Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako 
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu 
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana 
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana 

Ebenezer ni jiwe langu, jiwe langu la msingi 
Mahali nimefika leo, Ni kwa ajili yako ebeneza 
Mawe mengi yako hapa chini ya jua 
Kuna dhahabu, kuna almasi Kuna mawe hata sijui majina yake 
Lakini hakutawahi kuwa jiwe kama ebeneza 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2008


Album : Ebenezer (Umbali tumetoka) (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ANGELA CHIBALONZA

Kenya

Angela Chibalonza Muliri was a famous gospel singer based in Kenya. Angela Chibalonza ...

YOU MAY ALSO LIKE