Msalaba ndio asili ya mema Lyrics

Sioni haya kwa Bwana
Kwake nitang’ara
Mti wake sitakana
Ni neno imara
Msalaba ndio asili ya mema
Nikatua mzigo hapo
Nina uzima, furaha daima
Njoni kafurahini papo
Kama kiti chake vivyo
Ni yake ahadi
Alivyowekewa navyo
Kamwe havirudi
Msalaba ndio asili ya mema
Nikatua mzigo hapo
Nina uzima furaha daima
Njoni kafurahini papo
Bwana wangu tena Mungu
Ndilo lake jina
Hataacha roho yangu
Wala kunikana
Msalaba ndio asili ya mema
Nikatua mzigo hapo
Nina uzima furaha daima
Njoni kafurahini papo
Atakiri langu jina
Mbele za Babaye
Anipe pahali tena
Mbinguni nikae
Msalaba ndio asili ya mema
Nikatua mzigo hapo
Nina uzima furaha daima
Njoni kafurahini papo
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2017
Album : Msalaba ndio asili ya mema (Single)
Copyright : ©2017
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
ANGELA CHIBALONZA
Kenya
Angela Chibalonza Muliri was a famous gospel singer based in Kenya. Angela Chibalonza ...
YOU MAY ALSO LIKE