Tikisa Lyrics
Hahahaha
Bad bad bad bad
(Kimambo on the beats)
Tikisa, tikisa (Eeeh)
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Mbona nakaa nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi
Mbona nakaa ka nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi ah
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
(Sijielewi ah)
Nipe kubwa nipe na ndogo go (Wee!)
Changamka usiwe gogo go (Wee!)
Zikipanda nakuwa mhogo go (Wee!)
Sikawii kuzua zogo go (Wee!)
Aminata ah ah
Inavyonata ah ah
Inanikata ah ah
Usinimwage mwage bwana gambe
Mbona nakaa nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi
Mbona nakaa ka nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi ah
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Leo tumejipata
Tupo kila kopo tukila bata (Tikisa)
Waiter leta nyingine
Debe zimewaka zinataka (Tikisa)
Hatulali, mapopo
Ni minyesho tu, mapopo
Hatulali, mapopo
Ni mineso tu, mapopo
Mbona nakaa nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi
Mbona nakaa ka nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi ah
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Wenye vitambi tikisa, Tikisa!
Wenye wowowowo tikisa, Tikisa!
Wenye mawiggy tikisa, Tikisa!
Wenye marasta tikisa, Tikisa!
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Tikisa (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MARIOO
Tanzania
Marioo is a Tanzanian singer/songwriter based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...
YOU MAY ALSO LIKE