Home Search Countries Albums

Tikisa

MARIOO

Tikisa Lyrics


Hahahaha
Bad bad bad bad
(Kimambo on the beats)

Tikisa, tikisa (Eeeh)
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa

Mbona nakaa nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi
Mbona nakaa ka nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi ah

Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa 
(Sijielewi ah)

Nipe kubwa nipe na ndogo go (Wee!)
Changamka usiwe gogo go (Wee!)
Zikipanda nakuwa mhogo go (Wee!)
Sikawii kuzua zogo go (Wee!)

Aminata ah ah
Inavyonata ah ah 
Inanikata ah ah
Usinimwage mwage bwana gambe

Mbona nakaa nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi
Mbona nakaa ka nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi ah

Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa 

Leo tumejipata
Tupo kila kopo tukila bata (Tikisa)
Waiter leta nyingine 
Debe zimewaka zinataka (Tikisa)

Hatulali, mapopo
Ni minyesho tu, mapopo
Hatulali, mapopo
Ni mineso tu, mapopo

Mbona nakaa nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi
Mbona nakaa ka nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi ah

Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa 

Wenye vitambi tikisa, Tikisa!
Wenye wowowowo tikisa, Tikisa!
Wenye mawiggy tikisa, Tikisa!
Wenye marasta tikisa, Tikisa!

Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Tikisa (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzania

Marioo is a Tanzanian singer/songwriter  based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...

YOU MAY ALSO LIKE