Home Search Countries Albums

Hela

ALIKIBA

Hela Lyrics


Hela hela... Hela hela...
Hela unatutesa pia

Tatizo lako aliekuumba
Ni binadamu angekuumba mungu wewe
Usingenipotea tena sana ningeomba
Niweze kukoa uwe wangu moja kwa moja Hela
Nisha beba takataka
Nipate kula nikikupata unatoroka
Hela
Mbona labda masikini
Wakikupata wakisha kula
Unatoroka hela

Hela hela ( Hela..)
Hela hela, hela, hela hela...
Hela hela, hela, hela hela...
Hela unatutesa sana

Na wananchi wanalalamika
Unapendelea wana siasa Hela
Wanayonywa haki zao
Na wenye nguvu
Aliyewapa jon kio hela
Na machinga nao pia
Wananyanyasika sababu yako wewe hela
Kwa wagonjwa hospital
Bila rushwa hawatibiwi vizuri
Hela hela (hela..)
Hela hela hela hela  (hela..)
Hela hela Hela hela
Hela unatutesa sana

Hela hela, Hela hela
Hela hela, Hela hela

Wewe wako matajiri
Ndo maswaiba zako
(Hela unatutesa sana)
Nenda ukae na mayatima
Wapate faraja aaaja aaaja...
Kwani nani asiependa (Kujinafasi)
Nani asiependa (Kujinafasi)
Nani asiependa
Kuwa na wewe hela

Kuna wajane wasiojiweza
Walemavu mpaka Ali K
Hela hela, Hela hela
Hela hela, Hela hela
Hela hela, Hela hela
Hela hela, Hela hela
yeah

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Hela (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

ALIKIBA

Tanzania

Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...

YOU MAY ALSO LIKE