Home Search Countries Albums

Hakuna Kulala

ZUCHU

Hakuna Kulala Lyrics


(Black)

Lalalala lala, lala lala
Mmmmh 

Namvuta faraghani
Tunatubu tubu ndani
Namtazama simwishi
Namkanda ma mbavuni

Nitayainua majeshi
Vita nichague mimi
Aanze Bangladeshi
Amalizie Sudani

Lalalala ooooh, aah aah

Twanozana hatosheki
Kaniweka kifuani
Hatingishiki haruki
Yu watwabani

Nampa na vya kuridhi
Na vizungu vya kigeni

Hakuna kulala, hakuna kulala
Asubuhi itukute
Hakuna kulala, hakuna kulala
Na machwewe yatukute

Mmmh siwezi kuficha hisia
Maradhi yataniungua
Ni zimwi nalolijua
Kanila kanimalizia

Mbora katimiliki
Kwapa si za race race
Hapitagi njia fupi
Shosti kati ye za nini

Nampa na vya kuridhi
Na vizungu vya kigeni

Hakuna kulala, hakuna kulala
Asubuhi itukute
Hakuna kulala, hakuna kulala
Na machwewe yatukute

(Ayolizer)
(Wasafi)

Ladha yako, ladha yako
Ladha yako, Ladha yako ni tamu
Tamu sana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : I am Zuchu EP / Hakuna kulala (EP)


Copyright : (c) 2020 Wasafi Records.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ZUCHU

Tanzania

Zuchu real name Zuhura Othman Soud Kopa (born November 22, 1993) is an artist/Singer/Songwriter/Perf ...

YOU MAY ALSO LIKE