Home Search Countries Albums

Only You

ALE ONE Feat. ABDUKIBA

Only You Lyrics


Maisha safari
Binadamu tunatoka mbali
Hukujali pesa magari 
Ukaridhika na ugali misumari

Sema unataka nini niseme
Au nikukose niseme
Eti si wanataka uniteme
Mi nina mashaka mapenzi yashatia umeme

We na mimi all day
Chukua unachotaka nitapay
Najua una mashaka by the way
Nitazidi kuzisaka day after day

Kwamba vya bure, vina mahasara
Hapa na kule, kila mahala
Nitakupenda milele, mapenzi sio masihara
Huna swaga za kishenzi, huna papara

The only you, my beiby beiby
Wewe wangu mimi wewe wa pekee
Wewe wangu wa milele, eeeh

The only you, my beiby beiby
Wewe wangu mimi wewe wa pekee
Wewe wangu wa milele, eeeh

Mapenzi sebeshela 
Hujaniumiza moyo na unanipa raha
Rock slider 
We ndo yangu shibe napokuwa na njaa

Popote napita nisikupoteze
Siku ikifika beiby nikuvishe pete
Pahali tumetoka usisahau
Mapenzi kavunjika kisa washikadau

Umasikini si kilema ukasanda
Ukiwa bado una hema kuna kushuka na kupanda
Dawa ni kukazana kikamanda
Tuongeze mapenzi tuongeze mkwanja

Haha beiby over over over
Beiby over over over
Nishakupata over
Alafu kocha ata iwe kwenye sofa
Its okey mi nanukia makopa

The only you, my beiby beiby
Wewe wangu mimi wewe wa pekee
Wewe wangu wa milele, eeeh

The only you, my beiby beiby
Wewe wangu mimi wewe wa pekee
Wewe wangu wa milele, eeeh

The only you, the only you
The only you beiby
Only you beiby

The only you, the only you
The only you beiby
Only you beiby

The only you, my beiby beiby
Wewe wangu mimi wewe wa pekee
Wewe wangu wa milele, eeeh

The only you, my beiby beiby
Wewe wangu mimi wewe wa pekee
Wewe wangu wa milele, eeeh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Only You (Single)


Copyright : (c) 2019 KebeKebe


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ALE ONE

Tanzania

Ale One is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE