Home Search Countries Albums

Freestyle Session 2

YOUNG LUNYA

Freestyle Session 2 Lyrics


Yeah, na ningekuwa nataka uyoung King 
Ningeshamwambia father Country anipatie
Maana mi hufanya sio mnavyotaka nyie
Na niliongea na simba nikamwambia awakanyagie
(Kanyaga)

Bisha uone utandala wakufanyizie
Mistari nateleza ganda la ndizi
Nafanya utoto kiko tabasamu Babilon biz
Sina views kama Priz au Dris
Ila I was born to shine 
kama mwanangu bi twanga la twist

Tena waambie wanangu wa mtaani kwako mi sipaki powder
Nikiwa ghetto ni mitungi huwa simtaki soda
Izo itikadi zako za kishua zibaki goba
Nimeshafanya uvuke border 
Now get off, my fuckn shoulder

For now am the best young rapper ata ka hutaki
Young killer pia ni rapper fulani noma kiroho safi
Mmmh nashukuru Mungu mambo yamekuwa safi
Nawaka utasema cheni za Konde Boy mjeshi

Ng'ata ung'atwe
Lianzishe ufwatwe
Wenzako hatulembi
Nasaka mkate

Baka ubakwe
Umeme ukatwe
Ushikwe upaktwe
Uliwe na mate

Itikadi za ajabu kama hizo sina
Maneno mengi ya nini? Kama unaniweza pima
Mtu mmoja ila utasema kikosi cha pina
Bora univunjie mguu kuliko kunivunjia heshima

Ndo maana napita kitaoni, nakaa boss yeah
I can boss na hunisomi, sieleweki yeah
Nakaa mkosi nakimbiza huoni 
Namuuliza Moni, vipi umejenga sokoni
Napepesa mboni, nafanya wadudu wa njaa wanapita tumboni

Nikiwa high wanapita like am fuckin off
Maringo mengi yaani like my name is Cassanova
Ring ring sina manukato if we ni mjomba thanks for showing
Now we getting girls like Beyonce over
Kwanza natoka shkopa, sikopi makopa kopa
Mask off show my face hakuna nacho ogopa
Sina za kuropoka, nikikaa na magenge na moka
Yoh goma endeleeni kufoka 
Nikitoka mtoka na moka

Monday to Sunday in my way no fun day
Rule number one is no popo afande
Mziki wa On G ni threesome, ndio mandate
We leta ucho kwako ukutane na kipande

Ka si mdaro nawachoma roho, yeah what you know
Kimichano nimekwenda H, yeah am getting old
Mashindano huwa nashinda mi, huwanga sitoi draw
Keep one hundred, other nigga thing oooh shit
Kumbe unaniiga kuchana, ooh shit
Pesa unapewa na mama, oooh shit

Mtoto wa kiume pambana, sio unaogopa wasichana
Shout out to Khali, respect the OG
We outchea, RoofTop, PNT beiby

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Freestyle Session 2 (Single)


Copyright : (c) 2019 RoofTop Gang


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

YOUNG LUNYA

Tanzania

Young Lunya is a hiphop artist from Tanzania signed under Rooftop Gang a hiphop record label ba ...

YOU MAY ALSO LIKE